Muuza chapati

Kwangu mimi ni kosa kubwa sana maana babu anakasilika vibaya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilitaka kumsapoti uliyemquote kwamba labda dada anakufurahia mteja anashow good customer care. Ila kwa hili jibu lako khaaa acha tuu nicheke loh
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilitaka kumsapoti uliyemquote kwamba labda dada anakufurahia mteja anashow good customer care. Ila kwa hili jibu lako khaaa acha tuu nicheke loh
Yaani ata wewe ivyo ulivyo cheka huku baba kakadilika anayaka kuoasua miamba
 
Sikia nikupe tips, mbona tips zinaeleweka sana kaa, wewe andaa shingi 50,000 afu mwite baada ya kuchukua namba ile halooo naomba ukimaliza kazi nikuone sehemu fulani karibu hapa au naomba tuondoke wote leo ukimaliza kazi.

Chap unaita bajaji unampeleka sehemu ambapo hajawahi pelekwa ,lodge tu shingi 30K na food shingi 15K na 5K nauli kaka hapo haruki akiwalai tena nakuambia.😋😋😋 akiruka niite fisi nimekaa paleeeee.
 
Ni maeneo ya kazini sasa
We jamaa ni msumbufu sana juzi umenisumbua sana pale wavuvi camp nikununulie bia
Uchawa sio mzuri kazi yako kusifia sifia tuu mara boss,mkuu,mkali,mkurugenz,

Una gar nzur,umependeza acha ujinga wewe
Maeneo ya kazin????labda kazi ya uchawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…