Muuzaji mkuu wa viungo (big dealer of spices), wapi anapatikana kwa Dar?

Muuzaji mkuu wa viungo (big dealer of spices), wapi anapatikana kwa Dar?

manking

JF-Expert Member
Joined
Feb 8, 2014
Posts
1,306
Reaction score
316
Wakuu habari,
Naomba kufahamu au kama kuna mtu anahusika na biashara ya viungo(spices) bei za jumla kwa dar au mikoani.
viungo vinavyo takiwa ni; corriander(giligiliani), black pepper(pilipili manga), cardamon(iliki),nutmeg(kungumanga) cinamon(mdalasini) garic (vitunguu swaum) n.k
Ikiwezekana nipate wasailiano yake, natanguliza shukurani.
 
EGG INCUBATOR,AUTOMATIC YA MAYAI ELFU MBILI INAUZWA.

Kwa anaehitaji incubator mpya,zipo zinauzwa kwa idadi ya mayai elfu mbili.bei yake ni milioni nne na laki nane.

Tuwasiliane.0784413039.

pia wanaohitaji incubator za kutumia umeme kidogo,solar,au mafuta ya taa mnitafute.
Napatikana Dar es salaam,nahusika na kuunda incubator za aina zote na kuagiza incubator toka nje ya nchi.
Karibu sana.
 
Wakuu habari,
Naomba kufahamu au kama kuna mtu anahusika na biashara ya viungo(spices) bei za jumla kwa dar au mikoani.
viungo vinavyo takiwa ni; corriander(giligiliani), black pepper(pilipili manga), cardamon(iliki),nutmeg(kungumanga) cinamon(mdalasini) garic (vitunguu swaum) n.k
Ikiwezekana nipate wasailiano yake, natanguliza shukurani.
mm piah nawish kufanta hyo biashara but i don know niwe na mtaji wa kiasi gan ili niweze kuanza kama kianzio_-___
 
Karibu nikupe muongozo [emoji1488]
 
Back
Top Bottom