manking
JF-Expert Member
- Feb 8, 2014
- 1,306
- 316
Wakuu habari,
Naomba kufahamu au kama kuna mtu anahusika na biashara ya viungo(spices) bei za jumla kwa dar au mikoani.
viungo vinavyo takiwa ni; corriander(giligiliani), black pepper(pilipili manga), cardamon(iliki),nutmeg(kungumanga) cinamon(mdalasini) garic (vitunguu swaum) n.k
Ikiwezekana nipate wasailiano yake, natanguliza shukurani.
Naomba kufahamu au kama kuna mtu anahusika na biashara ya viungo(spices) bei za jumla kwa dar au mikoani.
viungo vinavyo takiwa ni; corriander(giligiliani), black pepper(pilipili manga), cardamon(iliki),nutmeg(kungumanga) cinamon(mdalasini) garic (vitunguu swaum) n.k
Ikiwezekana nipate wasailiano yake, natanguliza shukurani.