Muuzaji si anajulikana………………....!

Mtambuzi hivi kweli haya mauzi unayapata wapi. kweli wewe nimekukubali. hongera sana mkuu.

Mamndenyi haya mauzi ninayoweka humu ni mauzoefu yangu niliyopitia wakati wa ujana wangu.....................Unajua enzi zangu nilikuwa matata sana hasa kwenye kile kipindi cha kutaka kujionyesha kwamba jogoo anawika..........................LOL
 
Mamndenyi haya mauzi ninayoweka humu ni mauzoefu yangu niliyopitia wakati wa ujana wangu.....................Unajua enzi zangu nilikuwa matata sana hasa kwenye kile kipindi cha kutaka kujionyesha kwamba jogoo anawika..........................LOL

Wewe bado ni kijana tu. naona una kipaji cha ziada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…