Eneo la Kazi ni Kibiti Pwani, awe msichana anayeweza kufanya kazi kt mazingira ya kijijini kidogo. Biashara ni ndogo na inaanza ila kwa eneo lilivyo baada ya muda mfupi nategemea matokeo makubwa. Akiwa mkristo ni lazima ahudhurie kanisani, na akiwa muislamu hali kadhalika.
Mshahara kwa kuanza utakuwa elfu 60 kwa mwezi, kula na kulala ni juu yangu, mshahara utakuwa unapanda kadri biashara inavyokua.
Karibu PM kwa mwenye kuhitaji. Mungu awabariki.
Mshahara kwa kuanza utakuwa elfu 60 kwa mwezi, kula na kulala ni juu yangu, mshahara utakuwa unapanda kadri biashara inavyokua.
Karibu PM kwa mwenye kuhitaji. Mungu awabariki.