Unaweza nishauri pia, maana hapo malaz na chakula ni juu yanguUnamaana ya sh 2000 kwa siku? Kama atapatikana usije na uzi wa kufilisiwa kwa hilo duka kwa kuibiwa
Always life is not fair at all, pesa yote mtu anayolipa kusoma madawa, muda wote, hustle zote za kusoma na kufaulu then ajira iyo mtu unalipwa 60,000.Mtu alilipa millions of money kuja kulipwa 2000 kwa siku na kupewa chakula & malazi. Sitoi lawama kwa yeyote
Nishauri ifike ngap angalau? Hatokaa kwangu, nitampangia na kumnunulia kila kitu na chakulaAisee hata kama ndio biashara inaanza ongeza mshahara. Hiyo kazi ni lazima mtu awe na taaluma ya madawa ndio umpe elfu 60 hata kama anakaa kwako?
Mwenye uhitaji mta bargain.Nishauri ifike ngap angalau? Hatokaa kwangu, nitampangia na kumnunulia kila kitu na chakula
At least 250,000/=Nishauri ifike ngap angalau? Hatokaa kwangu, nitampangia na kumnunulia kila kitu na chakula
Lakin nyumba na kila kitu ajitegemee mwenyewe sio??At least 250,000/=
Mohammed Dewji mwenyewe anawapa graduates 250K sasa huyo Jamaa atatoa wapi hiyo?At least 250,000/=