mwambyetete
Senior Member
- May 17, 2018
- 132
- 202
Ingekuwa rahis kusema unahitaji spare zipi mkuu maana gari inavitu vingi sana tunaweza kutoa kumbe kitu unachokiitaji mtu husika hana but kwa oil original na mapambo ya magari original muone jamaa Instagram kwa jina la jo-spareparts anaweza kukusaidia shida yako na mawasiliano yake yapoHabari wapendwa,,nakumbuka niliwahi kuona uzi humu jamaa alipost juu ya kuuza spear za magar ambapo watu walikuwa wakimuuliza maswali na anawajibu vizur kwa kuwatajia bei ya spear wanazozitaka
Nimejaribu kuutafuta huo uzi sijauona,,tafadhali kama kuna mtu anaukumbuka au ana mawasiliano na huyo mtu nahitaji msaada wake plz wapendwa
Ingekuwa rahis kusema unahitaji spare zipi mkuu maana gari inavitu vingi sana tunaweza kutoa kumbe kitu unachokiitaji mtu husika hana but kwa oil original na mapambo ya magari original muone jamaa Instagram kwa jina la jo-spareparts anaweza kukusaidia shida yako na mawasiliano yake yapo