Muvi mpya ya Diamond na Wema

Wema kwenye msiba wa uncle jj alisema ingawa waliachana ila walikua wanakumbushiana na kanumba so sishangai kama domo bado anachumisha mboga
 
diamond anammega wema mara nyingi tu ilo nalifahamu pole kwa penny.
kama ni movie hiyo basi ni porno. movie gan inaigizwa na wawili tu
 
Swali: Nani kavujisa izo picha? Au atakua nanii **** maana yeye ndio yupo kitengo cha matangazo katika Wasafi Inc.

Kaka figganigga njoo useme "mia".
 
Last edited by a moderator:
nashawishika kusema Penny ndiyo HoD hapa jf.....
Pole dada...
 
Haya mambo yanaleta raha sana,ngoja tusubiri movie....hahahaa
 
Hao wanataka tu publicity usikute hamna lolote kati yao,wameamua tu kwa sababu wanajua wao ndo makahaba maarufu apa bongo,hizo picha kwani walipiga wakiwa uchi?? Si za kawaida tu??,tatizo lao wanapenda sana kuandikwa na kutajwa tajwa ovyo

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…