ok ntamuuliza zen ntakupa feedback.je muasho pekee bila maumivu, akikojoa mkojo hauumi? Tumbo kwa chini linamuuma? Anatokwa uchafu na je wa rangi na muonekano upi? Kwa kifupi hayo maswali yanahitaji majibu ili kuweza kujua ana tatizo gani But by far vaginal candidiasis but fangas ukeni is more common common among women. So amuone daktari kwa vipimo na matibabu Pole kwa maswahiba