Muwe mnaacha dharau mabinti

Unatumiwa nauli unatoka Dom mpka dar afu unakuja upo period afu husem kama upo period
Kwann usisubir period iishe ndyo uombe nauli uje
Tukila tigo mnaanza kutulaumu

Hehehe heri Lawama Mkuu...
 
Unatumiwa nauli unatoka Dom mpka dar afu unakuja upo period afu husem kama upo period
Kwann usisubir period iishe ndyo uombe nauli uje
Tukila tigo mnaanza kutulaumu
Mkuu usijisumbue, vile kakuambia yuko P. mpe 30,000 tu mwambie arudi dom. Utaona atakavobabaika! Utanishukuru.
 
Kuna wengine hupata hedhi kutokana na kubadil mazingira au uoga wa mgegedo mpya
 
Hivu unadhani tunakuaga hatuna nauli, wewe si umeniita gharamia basi.
Anapokuita si kwa ajili yenu wote?
Au unaenda kumtumikia yeye wewe hutafaidi?๐Ÿ˜†
 
Hivu unadhani tunakuaga hatuna nauli, wewe si umeniita gharamia basi.
Sasa kwani tumekuwa wapenzi hizo nyege nakuwaga nazo mie mwanaume tuu? Mbona kwa mtindo huu imekaa kama kimalaya malaya
 
Nikiwa nayo nitakuja mwnywe as long as maraha tunapata wote
Ila kwa mara ya kwanza lazma yani ni LAZMA atoe yeyeโ€ฆ
Nitajie nauli yako basi mrembo nikutumie uje nibusu miguu hiyo
 
Sasa kwani tumekuwa wapenzi hizo nyege nakuwaga nazo mie mwanaume tuu? Mbona kwa mtindo huu imekaa kama kimalaya malaya
Wewe umeniita tuma nauli, makutano mengine nami nitatoa. Shida iko wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ