Hawa Baraza la mitihani mbona hawana huruma kabisa,unaweza ukafa ukazimia ukiona umepata C-2(Credit 2)afu umekoswa 1 tu kwenda form 5 jamani hii inauma sana tena sana yan ni bora wange2hurumia 2 kwa wale 2liopata Credt 2 waka2wekea 1 ili 2endelee moja kwa moja co kureseat..
ulitakiwa ujionee huruma ww kwanza kwa kusoma kwa bidii, we husom afu unataka uhurumiwe. acha usharo pga buku. vya kuhurumiwa in ghali sana. take care
na kureseat kwenyewe kugumu ile mbaya ni kupoteza mda 2.
dah!aisee ungeniona nilivyokuwa napga buku dah!ungenionea huruma lakn necta ilivyokuja ni tofauti na niliyo yasoma katka baadh ya masomo,sasa hapa c bora niende chuo maana nina D-4,F-1,NA C-2.