wanabodi nawasalimu,
nimepata mradi ULIONIZIDI KIMO ambao nina uzoefu nao kiutaalam,
kwa kawaida (kutokana na uzoefu ) profit margin inarange kati ya 40-55%
NATAFUTA MUWEKEZAJI (MSHIRIKA WA KIBIASHARA) AMBAYE ATAKUWA TAYARI TUFANYE MAKUBALIANO YA UENDESHAJI KWA PAMOJA,AMBAPO ATALAZIMIKA KUWEKEZA FEDHA KWA AJILI YA MRADI.
majadiliano na maelekezo juu ya mradi yanapatikana .
Natanguliza shukrani.
0713 599509
wanabodi nawasalimu,
nimepata mradi ULIONIZIDI KIMO ambao nina uzoefu nao kiutaalam,
kwa kawaida (kutokana na uzoefu ) profit margin inarange kati ya 40-55%
NATAFUTA MUWEKEZAJI (MSHIRIKA WA KIBIASHARA) AMBAYE ATAKUWA TAYARI TUFANYE MAKUBALIANO YA UENDESHAJI KWA PAMOJA,AMBAPO ATALAZIMIKA KUWEKEZA FEDHA KWA AJILI YA MRADI.
majadiliano na maelekezo juu ya mradi yanapatikana .
Natanguliza shukrani.
0713 599509
wanabodi nawasalimu,
nimepata mradi ULIONIZIDI KIMO ambao nina uzoefu nao kiutaalam,
kwa kawaida (kutokana na uzoefu ) profit margin inarange kati ya 40-55%
NATAFUTA MUWEKEZAJI (MSHIRIKA WA KIBIASHARA) AMBAYE ATAKUWA TAYARI TUFANYE MAKUBALIANO YA UENDESHAJI KWA PAMOJA,AMBAPO ATALAZIMIKA KUWEKEZA FEDHA KWA AJILI YA MRADI.
majadiliano na maelekezo juu ya mradi yanapatikana .
Natanguliza shukrani.
0713 599509
ok wadau,nawashukuru kwa kujitokeza ili kupata details za mradi.
mradi ni wa civil works ( excavation of trench (uchimbaji wamtaro),cable laying (uwekaji wa kebo) na backfilling (ufukiaji) ya optic fiber cable,
idadi ya wawekezaji inategemeana na kiasi cha fedha nitakachokubaliana na wawekezaji wa mwanzo watakaojitokeza. Eneo nililonalo la kufanyia kazi (eneo linalotakiwa kuchimbwa mtaro) naweza kuliongeza kulingana na mwitikio (idadi) wenu wawekezaji.
Thanks kwa mwanabodi mmoja ambaye tumeshaanza mchakato wa makubaliano naamini tutafikia kwenye makubaliano yenye manufaa kwa pande zote.
Thanks in advance.