Muwekezaji anapoiba umeme

Muwekezaji anapoiba umeme

James Kasonda

Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
84
Reaction score
49
Aibu gani hii inayotokea katika nchi hii? Wawekezaji wanakuja kututapeli nyumbani kwetu kabisa? Hapo ndipo akili za watu zinapowaza na kushindwa kupata jibu. Ukifikiri kidogo tu utajua kwamba huenda wawekezaji wa aina hii ndio waliojaa Tanzania. Jambo hili tumelisikia zaidi ya mara moja. Sasa naamini atakayetuletea maisha bora si mwanadamu yeyote, kweli Mungu atusaidie.
 
Hiyo ndio TZ na tatizo la kusema milango ipo wazi kwa wawekezaji! Kila anaetaka kupita anapita bila shida! Lazima kuwepo na sifa za kumwita mtu mwekezaji ili kuepukana na huo utapeli.
 
Hawa wanaoitwa wawekezaji ndio tuliwakataa maana mfanyabiashara anataka faida na wengi wao ni majizi wakubwa, wakwepa kodi na watu wa hovyo kabisa...
 
si bora wale wa jana umeme kidogo, naomba serikali ifanye ukaguzi wa kushutukiza mara kwa mara hasa kwenye viwanda vya wahindi hawa watu wabaya sana na ndugu zao wachina, nadhani hatuhitaji wawekezaji ila tunahitaji wawezeshaji wa wananchi ili tufanye wenyewe
 
Back
Top Bottom