Muwekezaji kwenye IT issues anahitajika

Muwekezaji kwenye IT issues anahitajika

Lesa360

Member
Joined
Jun 13, 2020
Posts
22
Reaction score
38
Mimi na mwenzangu ni vijana wenye ujuzi tofauti kwenye career ya IT and telecomm! Tumekuwa tukifanya kazi zetu kwa kuokoteza okoteza hvohvo ila tumefukiri kwamba kama tukapata mtu akakubali kuwekeza kwenye vipaji vyetu tufungue kampuni na pia awe na connection kwenye baadhi ya ofisi ili kurahisisha maswala ya tenda na kazi zote kwa ujumla.

Yeye atakuwa kama CEO na sisi tutapambana kama mafundi ili kufikisha kampuni sehemu fulani.

Jina la kampuni tayari tumebuni, logo tayari tumetengeneza na emails pamoja na social media tayari hivyo bado usajiri wa kampuni na kuandaa katiba ambayo itaelezea utendaji wetu wa kazi na namna tutakavyoiendesha kampuni yetu. Kazi tunaziweza sio kwamba tunajifunza na miongoni mwa kazi ambazo tunazifanya kwa weledi mkubwa ni pamoja na:-
1. Web designs and Development
2. Graphics designs
3. LAN installations and IP phones( networking in general)
4. CCTV installations and security systems
Pia tuna baadhi ya project ambazo basically ni software tulizozibuni kwaajili ya kurahisisha baadhi ya kazi za kila siku. Tunahitaji mtu alie serious na hili hivyo kwa alie tayari naomba anicheki kwa namba 0620113688.
 
Hiyo NB Usingeiweka Hapo Chini, Inawezekana Kuna Mtu Akawa Hana Pesa Ila Anataka Kukupq Ushauri Wa Ujanja Na Mbinu Za Kutoboa Kupitia Mnachotaka Kukifanya.

Nipo Nafanya Kama Unachotaka Kufanya Kwa Miaka Mi 5 Sasa Ushauri Wangu Kwako Usichague Msaada.

Nakutakia Kila La Kheri

Mtwara Smart
 
Ondoa hiyo NB haraka
Hiyo NB Usingeiweka Hapo Chini, Inawezekana Kuna Mtu Akawa Hana Pesa Ila Anataka Kukupq Ushauri Wa Ujanja Na Mbinu Za Kutoboa Kupitia Mnachotaka Kukifanya.

Nipo Nafanya Kama Unachotaka Kufanya Kwa Miaka Mi 5 Sasa Ushauri Wangu Kwako Usichague Msaada.

Nakutakia Kila La Kheri

Mtwara Smart
Sawa
 
Kuna wenzetu wana ideas kubwa zaidi ya hizo hawajapata uwekezaji nyinyi mnaofunga makamera ndio mnataka uwekezaji.. funny...
 
Kuna wenzetu wana ideas kubwa zaidi ya hizo hawajapata uwekezaji nyinyi mnaofunga makamera ndio mnataka uwekezaji.. funny...
Ndio kidgo nlichojaaliwa mkuu na ndo upeo wangu umishia hapa!! Its very funny to you japo muda mwingne kujua sana nako ni ujinga thus y unajiona unafaham zaidi had unavuka misingi ya mtu anaejitambua na kuheshimu mawazo ya wenzake.... shame upon you Genius with nodes on his head
 
Mimi na mwenzangu ni vijana wenye ujuzi tofauti kwenye career ya IT and telecomm! Tumekuwa tukifanya kazi zetu kwa kuokoteza okoteza hvohvo ila tumefukiri kwamba kama tukapata mtu akakubali kuwekeza kwenye vipaji vyetu tufungue kampuni na pia awe na connection kwenye baadhi ya ofisi ili kurahisisha maswala ya tenda na kazi zote kwa ujumla.

Yeye atakuwa kama CEO na sisi tutapambana kama mafundi ili kufikisha kampuni sehemu fulani.

Jina la kampuni tayari tumebuni, logo tayari tumetengeneza na emails pamoja na social media tayari hivyo bado usajiri wa kampuni na kuandaa katiba ambayo itaelezea utendaji wetu wa kazi na namna tutakavyoiendesha kampuni yetu. Kazi tunaziweza sio kwamba tunajifunza na miongoni mwa kazi ambazo tunazifanya kwa weledi mkubwa ni pamoja na:-
1. Web designs and Development
2. Graphics designs
3. LAN installations and IP phones( networking in general)
4. CCTV installations and security systems
Pia tuna baadhi ya project ambazo basically ni software tulizozibuni kwaajili ya kurahisisha baadhi ya kazi za kila siku. Tunahitaji mtu alie serious na hili hivyo kwa alie tayari naomba anicheki kwa namba 0620113688.

1. Mna level gani ya elimu?
2. Mnaishi mkoa gani?
 
Mimi na mwenzangu ni vijana wenye ujuzi tofauti kwenye career ya IT and telecomm! Tumekuwa tukifanya kazi zetu kwa kuokoteza okoteza hvohvo ila tumefukiri kwamba kama tukapata mtu akakubali kuwekeza kwenye vipaji vyetu tufungue kampuni na pia awe na connection kwenye baadhi ya ofisi ili kurahisisha maswala ya tenda na kazi zote kwa ujumla.

Yeye atakuwa kama CEO na sisi tutapambana kama mafundi ili kufikisha kampuni sehemu fulani.

Jina la kampuni tayari tumebuni, logo tayari tumetengeneza na emails pamoja na social media tayari hivyo bado usajiri wa kampuni na kuandaa katiba ambayo itaelezea utendaji wetu wa kazi na namna tutakavyoiendesha kampuni yetu. Kazi tunaziweza sio kwamba tunajifunza na miongoni mwa kazi ambazo tunazifanya kwa weledi mkubwa ni pamoja na:-
1. Web designs and Development
2. Graphics designs
3. LAN installations and IP phones( networking in general)
4. CCTV installations and security systems
Pia tuna baadhi ya project ambazo basically ni software tulizozibuni kwaajili ya kurahisisha baadhi ya kazi za kila siku. Tunahitaji mtu alie serious na hili hivyo kwa alie tayari naomba anicheki kwa namba 0620113688.
Tatizo vijana wa siku hizi ninyi mkisha pewa connection mkaanza kupata vilaki dharau na ujuaji sijui unatokeaga wapi hadi mtu anajuta kufanya kazi na ninyi.......

Wewe unatuhakikishiaje umati huu kuwa wewe na wenzako hamtakuja badilika baadae?! Maana huwa mnaanza vizuri na kwa unyenyekevu ili kupata biashara then mkishaipata mnaanza kuleta za kuleta.
 
Mimi na mwenzangu ni vijana wenye ujuzi tofauti kwenye career ya IT and telecomm! Tumekuwa tukifanya kazi zetu kwa kuokoteza okoteza hvohvo ila tumefukiri kwamba kama tukapata mtu akakubali kuwekeza kwenye vipaji vyetu tufungue kampuni na pia awe na connection kwenye baadhi ya ofisi ili kurahisisha maswala ya tenda na kazi zote kwa ujumla.

Yeye atakuwa kama CEO na sisi tutapambana kama mafundi ili kufikisha kampuni sehemu fulani.

Jina la kampuni tayari tumebuni, logo tayari tumetengeneza na emails pamoja na social media tayari hivyo bado usajiri wa kampuni na kuandaa katiba ambayo itaelezea utendaji wetu wa kazi na namna tutakavyoiendesha kampuni yetu. Kazi tunaziweza sio kwamba tunajifunza na miongoni mwa kazi ambazo tunazifanya kwa weledi mkubwa ni pamoja na:-
1. Web designs and Development
2. Graphics designs
3. LAN installations and IP phones( networking in general)
4. CCTV installations and security systems
Pia tuna baadhi ya project ambazo basically ni software tulizozibuni kwaajili ya kurahisisha baadhi ya kazi za kila siku. Tunahitaji mtu alie serious na hili hivyo kwa alie tayari naomba anicheki kwa namba 0620113688.
Kama bado hamjapata mtu ningewashauri tuwasiliane ili tuangalie jinsi ya kuyajenga .Kampuni ya IT ninayo lakini sina vijana wa kazi kwa hiyo tunaweza kuandaa MOU kati yetu na mengineyo. Mambo ya kusajili kampuni mpya ni headache na gharama zisizo za lazima ....Kama mpo tayari ni PM
 
Back
Top Bottom