Jamaa wa kitambo sana nakumbuka ule wimbo wke umetutoka babaHuyu ni kijana wa muda mrefu kwenye mziki lakini watanzania wengi hawamjui. Amekuwa akifanya kazi zake na band ya B-band lakini kidogo ametambulika kwenye wimbo alioshirikishwa na Kala Jeremiah "sikati tamaa".
Kwa sasa amekuja na nyimbo yake mwenye kama solo artist inaitwa tausi. Anaeweza kuiweka humu aiweke
Uongo huu unaletwa kwenu kwa hisani kuu ya watu wanaomchukia diamondHuyu ni kijana wa muda mrefu kwenye mziki lakini watanzania wengi hawamjui. Amekuwa akifanya kazi zake na band ya B-band lakini kidogo ametambulika kwenye wimbo alioshirikishwa na Kala Jeremiah "sikati tamaa".
Kwa sasa amekuja na nyimbo yake mwenye kama solo artist inaitwa tausi. Anaeweza kuiweka humu aiweke
Kwahiyo diamond ndio kipimo cha mziki tanzania?basi tuache kubisha kuwa diamond ndio mwanamziki bora kuliko wote yaani hao wakina ally kiba na wenzake waanze kumuamkia kila wakikutana naye au kazi zakeHuyu ni kijana wa muda mrefu kwenye mziki lakini watanzania wengi hawamjui. Amekuwa akifanya kazi zake na band ya B-band lakini kidogo ametambulika kwenye wimbo alioshirikishwa na Kala Jeremiah "sikati tamaa".
Kwa sasa amekuja na nyimbo yake mwenye kama solo artist inaitwa tausi. Anaeweza kuiweka humu aiweke
Utakuwa umeanza kusikiliza mziki miaka ya hivi karibuni.Nyimbo aliomtambulisha kashirikishwa na kala jeremia bado unamwambia ni mkali duuu
Mkuu Kiswahili sijui ni lugha yako ya pili, au vipi!! Anyway, kuhusu huyo Nuruelly, ikiwa alishindwa kutusua enzi zao za East Zoo (kama sikosei) ndo unatarajia atatusua sasa? Tena enzi zile hata ushindani haukuwa mkubwa kama ilivyo sasa hususani kwa wabana pua!me ni shabiki tu naejua mziki siku hiz msanii unavyokuja kweny show watu unaiwaimbia wanajua mziki kuliko wewe kila mtu ni msanii ila huyu kijana ni anauwezo sana namlinganisha najalibu kumbust ili watu wajue ni nani huyo nyimbo yake mpya inaitw tausi
Yote uliyosema nayakubali kwa 100% ila I doubt hapo kwenye RED! Nuruelly ni wa kitambo sana na kama sikosei, alianza kutosikika/kupotea hata kabla ya hiyo B-Band labda kama ulitaka kumaanisha alifunikwa baada ya kuingia Banana Zoro jambo ambalo sidhani kama ndicho ulichomaanisha!Utakuwa umeanza kusikiliza mziki miaka ya hivi karibuni.
Jamaa wa kitambo kabla ya kala na wasanii wengi waliokuwa wakiimba r&b walikuwa wakimu-refer yeye kama ndiye aliyewavutia kuimba.
Sema alifunikwa baada ya kuingia b-band akawa kimya and by the way hajawahi kuwa juu kiasi hicho.
Lakini duniani kote kuwa mkali sana haimaanishi ndio kutusua kuna watu kibao wanajua lakini wanaowafahamu wachache.
nimezungumzia uwezo sijazungumzia kutusua na nimesema kama atachange style yake bado ana nafasi badoMkuu Kiswahili sijui ni lugha yako ya pili, au vipi!! Anyway, kuhusu huyo Nuruelly, ikiwa alishindwa kutusua enzi zao za East Zoo (kama sikosei) ndo unatarajia atatusua sasa? Tena enzi zile hata ushindani haukuwa mkubwa kama ilivyo sasa hususani kwa wabana pua!
Anyway, kwanza nilipomaanisha kutusua sijamaanisha kutusua kimaisha bali kutusua kwenye game! Msingi wa hoja yangu ni kwamba, pamoja na uwezo wake huo huo lakini hata wakati wa enzi zake bado hakutusua kivile kwenye game! Ni kama alivyosema elmagnifico hapo juu kwamba, hajawahi kuwa juu kihivyo! Watu ambao tulikuwa tunamfahamu ni wale ambao ni kweli tulikuwa wafuatiliaji wa game; enzi zile kishule shule!nimezungumzia uwezo sijazungumzia kutusua na nimesema kama atachange style yake bado ana nafasi bado