Muziki katika makazi ya watu

Qsm

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2008
Posts
450
Reaction score
262
Nawaomba wanaJF wanaoijua sheria inayohusu wale wafanyabiashara wanaopiga muziki kwa sauti kubwa katika makazi ya watu inasemaje!yaani kuna kibanda kimoja hapo uswahilini kwetu hatulali! Nataka niwachukulie sheria kwani nimewafuata mara kadhaa kuwaomba wasifungulie muziki kwa sauti kubwa lakini hawasikii. Tafadhali nisaidieni kwa hili
 

nenda hata mahakama ya mwanzo ushitaki watapewa court oder kuna muda hawaruhusiwi kisheria nadhani hata baraza la masingira kuna sheria yake kwa kiwango cha decibel nadhani ni ndogo sana ambapo muziki haupaswi kusikiwa na nyumba ya jirani...watu wa mahakama watakupa mwingozo.
 
asante sana Utingo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…