Kwenye suala la muziki
Ila wewe mbona maneno hayaishiKwenye suala la muziki
Ulinganishe kenya na Tanzania!!!
Utakuwa unachekesha
Soma kwanza hii kutoka CNN
Siongezi lingine
Maneno hayawezi kuisha ukiwa haiIla wewe mbona maneno hayaishi
Kukwaa lasiasa upo
Huku upo!!!
Sina lingine [emoji112] [emoji112] [emoji112]
Ila wewe mbona maneno hayaishi
Kukwaa lasiasa upo
Huku upo!!!
Sina lingine [emoji112] [emoji112] [emoji112]
Hahaha ndio maana Tumemdharau tu!!Usilinganishe tz na upuuzi
Ni vizuri sana kumuona anaimba kwa Kiswahili safi ni aibu sana kina Sammuel999 na wengine wengi (diverse Kenyans) lugha yetu ya Afrika Mashariki inawapa tabu, ila MK254 mwanaJF toka Kenya anastahili sifa kwa kuwa na Kiswahili safi.
Kwa ndugu zetu wengine wa Kenya pateni somo hili la lugha ya Kiswahili safi toka Tanzania na kwa kujifunza zaidi ingia ktk source ya videos
Swahili Tutorials - (live from Tanzania)
Source: growingopportunities
kiswahili chimbuka sio mtanzania na mkenya sio lazima aongee kama mtz. we do better in swahili than tz and we are published all over the world more than anyone else in swahili including on google!!
Loh ! Kweli akili ndogo inakusumbua hivi umeandika upumbafu gani hapa . stupid!!!!!kiswahili chimbuka sio mtanzania na mkenya sio lazima aongee kama mtz. we do better in swahili than tz and we are published all over the world more than anyone else in swahili including on google!!