Muziki wa Msumbiji

Muziki wa Msumbiji

Kichuguu

Platinum Member
Joined
Oct 11, 2006
Posts
17,048
Reaction score
22,790
Naona huu uko kama Mbaqanga wa Afrka ya Kusini; je hii ndiyo aina pekee ya Muziki huko Msumbiji?

 
Hujaeleweka
Nilikuwa sijui kama Musumbiji wana muziki wa aina gani; mwanzoni niliamini kuwa ni kama wa kwetu, lakini sasa naona kama muziki wao uko kwenye muziki wa kitamaduni wa Afrika ya Kusuini unaoitwa Mbaqanga. Ni muziki uliochezwa sana na Soul Brothers na Mahotella Queens. Kwa hiyo sijuia huwa wanapokea muziki wa kitanzania.
 
Back
Top Bottom