Muziki zilipendwa haupatikani..

Muziki zilipendwa haupatikani..

Mfwatiliaji

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2007
Posts
1,323
Reaction score
67
Mods
tangu jana niimeshindwa kusikiliza zilipendwa na miziki mingine.
Kuna tatizo gani
 
Kulikuwa na shida kwenye mtandao hadi leo asubuhi!
Jaribu saa hizi!
 
bado sipati
...Kama simu yako ina Fm radio jaribu kutuliza hasira radio one kipindi cha hizi nazo kiko hewani...sasa hivi mzee mzima hemed maneti naEddy sheggy wanafanya mambo na wimbo wao ' Mwisho wa mwezi una mambo , habari gani hugeuka how are you?, smahani wanasema sorry!!!
 
Very sorry, hatuku-detect kuwa kulikuwa na tatizo hilo, tunamshukuru member mmoja ambaye katuandikia barua pepe kutufahamisha juu ya tatizo hilo.
 
Back
Top Bottom