Mv magogoni naona imepaki

Mv magogoni naona imepaki

Kwahiyo Zile Billions Za Matengenezo Eti Ndiyo Kusema Tena Kibovu
Tanzania Aliyeturoga Kafa, Uhuni Ni Mwingi Sana Mzilankende Angepiga Shangazi Zake Waziri Wa Ujenzi Na Uchukuzi
 
Kivuko kikubwa cha magogoni kimepaki muda hali kwasasa kuvuka kigamboni ni changamoto
Huduma inaogeuka kuwa kero..balaa tupu.
Tanzania ina shida mingi sana.
 
Kwahiyo Zile Billions Za Matengenezo Eti Ndiyo Kusema Tena Kibovu
Tanzania Aliyeturoga Kafa, Uhuni Ni Mwingi Sana Mzilankende Angepiga Shangazi Zake Waziri Wa Ujenzi Na Uchukuzi
Tunaupiga mwingi ndugu tuache kwanza usituharibie 2025 inanukia.
 
We ni mgeni? Mana ina zaidi ya week moja imepaki na tumetangaziwa kuwa kitakuwa kwenye matengenezo ya mda mrefu na pia madereva wenye magari wameshauriwa kupitia njia ya darajani kuepuka usumbufu wa foleni
 
Back
Top Bottom