mndemeimran
Senior Member
- May 7, 2017
- 112
- 74
KIVUKO CHA MV NYERERE CHAZAMA
Kivuko cha MV Nyerere kinachofanya safari zake kati ya Bugorara na kisiwa cha Ukala katika ziwa Victoria kimezama muda huu, huku taarifa za idadi ya watu waliokuwemo ndani ya kivuko hicho hazijajulikana.
KUZAMA KWA KIVUKO
Shughuli za uokoaji abiria waliozama katika Kivuko cha Serikali cha MV. Nyerere kilichokuwa kikitoa huduma za safari ndani ya Ziwa Victoria kati ya Kisiwa Kikubwa cha Ukerewe na Ukara, kilichopinduka na kuzama leo, zimeanza ambapo hadi sasa zaidi ya watu 20 tu waliokuwa nje ya kivuko hicho wakining'inia, wameokolewa.
Sababu za awali za kuzama kivuko hicho inadaiwa kuwa ni idadi kubwa ya watu waliokuwa wamepanda pamoja na idadi kubwa ya mizigo ya magunia ya mahindi na mifuko ya saruji.
Taarifa kamili baadaye.
Kivuko cha MV Nyerere kinachofanya safari zake kati ya Bugorara na kisiwa cha Ukala katika ziwa Victoria kimezama muda huu, huku taarifa za idadi ya watu waliokuwemo ndani ya kivuko hicho hazijajulikana.
KUZAMA KWA KIVUKO
Shughuli za uokoaji abiria waliozama katika Kivuko cha Serikali cha MV. Nyerere kilichokuwa kikitoa huduma za safari ndani ya Ziwa Victoria kati ya Kisiwa Kikubwa cha Ukerewe na Ukara, kilichopinduka na kuzama leo, zimeanza ambapo hadi sasa zaidi ya watu 20 tu waliokuwa nje ya kivuko hicho wakining'inia, wameokolewa.
Sababu za awali za kuzama kivuko hicho inadaiwa kuwa ni idadi kubwa ya watu waliokuwa wamepanda pamoja na idadi kubwa ya mizigo ya magunia ya mahindi na mifuko ya saruji.
Taarifa kamili baadaye.