njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
MODS naomba heading isibadilishwe hata kidogo sababu hawa makanjanja nilidhani ni bahasha za khaki tu na ushabiki kumbe maskini ya Mungu wengi wao ni upeo mdogo wamekimbilia hiyo kazi sababu inazoa takataka za kila aina bila kuchuja
Eti huyu ni mmojawapo ya wachambuzi wa nchi hii anakumbaia hii ndiyo lists ya teams bora africa , hayo mapoints kayatoa wapi sijui ndo kule footballdatabase.com? hili kanjanja hata ukililiuliza system ya CAF ya 5 years ranking system hata halijui kwenye system ya CAf hakuna teams iliyofikisha hata points 80 ..aibu sana aibu sana kwa kweli
HALAFU KANJANJA HILI LISIVYO ANA AIBU LIKASEMA ETI KWA MUJIBU WA CAF MWEZI APRIL 😀🤣😂
sasa kanjanja Mavano data za CAf hizi hapa tangu miaka 5 iliyopita umeona jinsi hizo points zilivyokokotolewa? yaani kama ni somo la hesabu unaonyesha njia ya jibu lilivyopatikana
NB: simba imeongeza points juzi imepaa hadi nafasi ya 12
Eti huyu ni mmojawapo ya wachambuzi wa nchi hii anakumbaia hii ndiyo lists ya teams bora africa , hayo mapoints kayatoa wapi sijui ndo kule footballdatabase.com? hili kanjanja hata ukililiuliza system ya CAF ya 5 years ranking system hata halijui kwenye system ya CAf hakuna teams iliyofikisha hata points 80 ..aibu sana aibu sana kwa kweli
HALAFU KANJANJA HILI LISIVYO ANA AIBU LIKASEMA ETI KWA MUJIBU WA CAF MWEZI APRIL 😀🤣😂