Mvi za ujanani zimekuwa kero

Mvi za ujanani zimekuwa kero

Donatila

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,772
Reaction score
22,598
Habari wakuu,

Husika na kichwa hapo juu,

Hivi ndivyo binti Noela alikuwa akisema...

Jamani yani nilivyo na karangi kangu kachungwa kanapendeza sana.

Wala sitaki mtu anisifie maana mimi najijua mwenyewe kuwa ni mrembo asili.

Mafuta yangu ya nazi napaka, sina mambo mengi na ninang'aa hataree.

Mimi ni binti ninayependa asili, hivyo na nywele zangu ni asili.

Kinachonifanya nikose furaha ni hivi vimvi vya hapa mbele kichwani, yani vinanikera sana.

Nimeshahangaika kupaka aina nyingi za dawa ili kuzificha ila zinatoka mapema

Maneno hayo yalisikika kwa mrembo mmoja aliyekuja kusuka hapa karibu usuke.

Anahitaji kujua aina ya dawa ya kufanya mvi zisionekane kwa muda.
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa hapo juu,

Hivi ndivyo binti Noela alikuwa akisema...

Jamani yani nilivyo na karangi kangu kachungwa kanapendeza sana.

Wala sitaki mtu anisifie maana mimi najijua mwenyewe kuwa ni mrembo asili.

Mafuta yangu ya nazi napaka, sina mambo mengi na ninang'aa hataree.

Mimi ni binti ninayependa asili, hivyo na nywele zangu ni asili.

Kinachonifanya nikose furaha ni hivi vimvi vya hapa mbele kichwani, yani vinanikera sana.

Nimeshahangaika kupaka aina nyingi za dawa ili kuzificha ila zinatoka mapema

Maneno hayo yalisikika kwa mrembo mmoja aliyekuja kusuka hapa karibu usuke.

Anahitaji kujua aina ya dawa ya kufanya mvi zisionekane kwa muda.
Furaha inatafutwa kwa fujo Sana. Pole sana wanakuja wanamitindo.
 
mvi raha usisikie... hasa ukiwa kijana na uparaaaaaaaaaa... vimvi vyangu ktk ndevu vina nipa furaha kubwa, na amani ya kudumu...

#Mvi...
Umetisha mkuu, hivyo vimvi ni kama swagaa [emoji23]
 
Umetisha mkuu, hivyo vimvi ni kama swagaa [emoji23]
hacha tu... vina nipa kujiamini pia... ndevu yeupe na nyeusi (Chotara)... zikifikia rangi ya nywele za EL, hahahahahah hapo nitachukia sana, mvi ndevu zote hapana
 
Wanaume wanaota mvi kwenye ndevu sababu ya magic
 
Kiukweli hakuna dawa ya kutoa mvi kabsa, paka superblack.

Ingawa superblack huwa haisaidiii, maana unakuwa mtumwa wa hiyo superblack kama inakaa week inamaana kila baada ya week unapaswa upake hiyo superblack.

Wakati mwngne yapasa ukubaliana na matokeo, mvi zmekuja hauna budi kukubaliana nazo maaam 😊.
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa hapo juu,

Hivi ndivyo binti Noela alikuwa akisema...

Jamani yani nilivyo na karangi kangu kachungwa kanapendeza sana.

Wala sitaki mtu anisifie maana mimi najijua mwenyewe kuwa ni mrembo asili.

Mafuta yangu ya nazi napaka, sina mambo mengi na ninang'aa hataree.

Mimi ni binti ninayependa asili, hivyo na nywele zangu ni asili.

Kinachonifanya nikose furaha ni hivi vimvi vya hapa mbele kichwani, yani vinanikera sana.

Nimeshahangaika kupaka aina nyingi za dawa ili kuzificha ila zinatoka mapema

Maneno hayo yalisikika kwa mrembo mmoja aliyekuja kusuka hapa karibu usuke.

Anahitaji kujua aina ya dawa ya kufanya mvi zisionekane kwa muda.
Niko chini ya miaka 40
Nazipenda mvi za kidevu
Kichwani sina, ila kidevu ni full mvi na najivunia kuwa nazo
Donatila
Tufahamiane pm
 
Kuna dada mmoja tulisoma naye Advance na yeye alikuwa na mvi though zilikuwa chache ila zilikuwa karibu na sehemu ya mbele ya kichwa.

Mimi nilijikuta tu nikizipenda, kwahiyo zikubali kabisa wala hazina tatizo.
 
Kuna member aliwahi leta Uzi humu jf na akeleza namna ya kuzitoa na chanzo Cha hizo mvi Soo jaribu kuutafuta huo Uzi utajua nini Cha kufanya.
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa hapo juu,

Hivi ndivyo binti Noela alikuwa akisema...

Jamani yani nilivyo na karangi kangu kachungwa kanapendeza sana.

Wala sitaki mtu anisifie maana mimi najijua mwenyewe kuwa ni mrembo asili.

Mafuta yangu ya nazi napaka, sina mambo mengi na ninang'aa hataree.

Mimi ni binti ninayependa asili, hivyo na nywele zangu ni asili.

Kinachonifanya nikose furaha ni hivi vimvi vya hapa mbele kichwani, yani vinanikera sana.

Nimeshahangaika kupaka aina nyingi za dawa ili kuzificha ila zinatoka mapema

Maneno hayo yalisikika kwa mrembo mmoja aliyekuja kusuka hapa karibu usuke.

Anahitaji kujua aina ya dawa ya kufanya mvi zisionekane kwa muda.
Hizo nywele ni ishara ya baraka na hekima za ziada ambazo Mungu amekubariki.

Hupaswi kuzificha wala kuziondoa
 
Back
Top Bottom