guzman_
JF-Expert Member
- Jan 27, 2016
- 1,268
- 2,330
Wakuu
Naombeni msaada kwa yeyote anayeifahamu mvomero vizuri. Katika mishe zangu za kutafuta liziki nimepita wilaya ya mvomero na imenivutia. Sasa wadau nataka kujua roughly bei za ardhi huko zikoje na ninaweza kulima mazao gani. NB. Nataka kufanya large scale kuanzia ekari 200-300.
Please wakuu mwenye details.
Naombeni msaada kwa yeyote anayeifahamu mvomero vizuri. Katika mishe zangu za kutafuta liziki nimepita wilaya ya mvomero na imenivutia. Sasa wadau nataka kujua roughly bei za ardhi huko zikoje na ninaweza kulima mazao gani. NB. Nataka kufanya large scale kuanzia ekari 200-300.
Please wakuu mwenye details.