Mvua Dar; Jangwani panapitika leo?

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Habari wakazi wa Dar es Salaam na viwanja vyake.

Nina safari ya kwenda mjini Posta leo. Hii mvua ilivyonyesha hii asubuhi Jangwani panapitika kweli? Kwa walioenda mjini kupitia njia ya Morogoro naomba mrejesho.

Shukrani.
 
Midamida ndiyo panaweza kuwa shida maana maji yanayotoka gombs, Kinyerezi nk kuja huko bado yapo njiani yakifika ndiyo balaa

Tz shamba la bibi kamvua kadogo tunashindwa kukacontrol? Tunawaacha kina Bashiru wanapiga Bilioni 180 wakati tungeweza kuvuna maji na kutengeneza Dams tukazalisha umeme pia ,wajaribu kusoma project ya TVA -Tennessee Valley Authority.
 
Tz shamba la bibi kamvua kadogo tunashindwa kukacontrol? Tunawaacha kina Bashiru wanapiga Bilioni 180 wakati tungeweza kuvuna maji na kutengeneza Dams tukazalisha umeme pia ,wajaribu kusoma project ya TVA -Tennessee Valley Authority.
Izo pesa mnauthibitisho gani amepiga? No pesa nyingi sana lazima mamlaka ingesema nani anamuogopa?
 
Tz shamba la bibi kamvua kadogo tunashindwa kukacontrol? Tunawaacha kina Bashiru wanapiga Bilioni 180 wakati tungeweza kuvuna maji na kutengeneza Dams tukazalisha umeme pia ,wajaribu kusoma project ya TVA -Tennessee Valley Authority.
Hela zimepigwa halafu.

Kimyaaaah
 
Karibu panafungwa, maana maji yashaanza kujikusanya.
 
Izo pesa mnauthibitisho gani amepiga? No pesa nyingi sana lazima mamlaka ingesema nani anamuogopa?

Pdf ni kubwa kidogo mkuu ila gogoki2014 amejaribu kudokoa vitu vichache kwenye ripoti ya BOT ,180b zimepigwa na watu wawili wapo ngome ila inabidi wengine walindwe maana pdf zao ni kubwa kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…