Mvua ilivyonirahisishia kazi kwa huyu mtoto (Emergency love)

boyson onlye

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2015
Posts
1,108
Reaction score
1,397
Wakuu kwanza kabisa kama mnavyojua kila kitu kina faida na hasira, mbali na shida zote tunazopata wakazi wa dar kipindi cha mvua yaani foleni, mitaan maji yanajaa ila kuna faida zake

Mvua ya juzi ilinifanya niokote tende kwenye mwembe yaani mtoto ambaye nilikuwa namtolea macho pale kazini Anafanya moyo wangu utetemeke nikimuona juzi kajileta

Ilikuwa hivi me nimepanga karib na ofisin, Yeye anakaa mbali kidogo anapanda daladala sasa juzi tumetoka wote tukitumia mwavuli mmoja lengo anipeleke mimi geto then yeye nimwachie mwavuli aendee nao kwa kwa maana ofisini na geto kama dk 10 tu

Tumetoka ofisin vizuri tu tumefika mpaka geto nikamkaribisha ndani alikuwa anataka kukataa ila nikamuomba kweli alikubali

Ameingia ndani kama dk tatu akaniambia nguo yake ina unyevuinyevu anataka kunyoosha
nikamwambia sawa me natoka nje ukimaliza nambie akanambia we usijar baki tu ila nipe taulo au shuka nijifunge, nikampa kumbe aliifunga vibaya ile anainama anyooshe shuka ikadondoka akabaki na nguo zile za ndani tu.
Akasimama akawa ananiangalia, mtoto yuko vizuri, sikuchelewa kuwa responded kwenye ile hali nimekujistukia nipo kitandani na yule mtoto
 
Ukweli ni kwamba nae alikuwa anakupenda ila akaona u-domo zege.....
Ikabidi arahisishe mambo.
Haiingii akilini mtoto wa kike aombe taulo,avue nguo mbele yako na hata taulo lilipodondoka badala ya kuliwahi yeye akawa anakuangalia.
 
We ndio ulikuwa unatafutwa ukijua kula kwa mkono wenzako wanajua kula kwa kijiko
 
 
Kuna vitu hata siyo vya kujisifia walahi vile. Hongera kwa kufaidi risking urself
 
Aisee, wewe ndie 'umeliwa' kidandara! We chalii niaje? Yaani kamtego kadogo hivyo cha huyo manzi umenasa? Ungekutana na mitego ya 'maprofeshno' ungetoka kweli wewe? Kajicheki afya kwanza!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…