Tetesi: Mvua imeleta maafa baadhi ya maeneo Mvomero-Morogoro

Tetesi: Mvua imeleta maafa baadhi ya maeneo Mvomero-Morogoro

manking

JF-Expert Member
Joined
Feb 8, 2014
Posts
1,306
Reaction score
316
Taarifa kamili hazijathibitika madhara na mali zilizo haribiwa kutokana na mvua iliyoambatana na upepo na radi kuharibu nyumba kadhaa na mifugo huko Mziha wilayani Mvomero usiku wa kuamkia leo. Nikipata taarifa kamili nitazileta hapa.
 
Back
Top Bottom