Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo unafikiri kwa akili zako kisoda sijui unachomaanisha?Nimezungumzia mvua kunyesha wewe umekimbilia uchawi.
Una matatizo mkuu, jitafakari.
Hii thread Inahusiana na hali ya hewa.
Sio mambo yenu huko.
Ukijificha kwenye kivuli cha mvua kumbuka ulipigwa 5 na mvua ilinyesha hivi hivi, kwaiyo usijipe moyo na kukariri maisha kama unavyofikiriaKuna mtu mahali atasimulia kitachompata leo.
Inanyesha na aijulikani ni mvua ya nani maana ni kama mtego hivi🤣🤣Nazungumzia hali ya hewa mkuu.
Pande hizo mvua inanyesha??
Peleka pengo kuzimu ewe ndezi😂Hii thread Inahusiana na hali ya hewa.
Sio mambo yenu huko.
Comments zako huwa zinanichekesha mno mkuu😁😁Peleka pengo kuzimu ewe ndezi😂
Ni masihara tu mkuu😂😂Comments zako huwa zinanichekesha mno mkuu😁😁
😅😅 kabisa mkuu sema mwamba kachukulia seriouslyNi masihara tu mkuu😂😂
Haha kweli mimi ni kiazi mbatata lakini wewe ni ndezi mla ndizi za huko kwenu Uarushani😂😂Kiazi wewe.