Mvua imenyesha watu wakalima; wamekatazwa kuuza mahindi yao nje ya nchi

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Wanasiasa wakitaka kununua V8 hakuna anayewakataza; wakitaka kuuza rasilimali hakuna anayewakataza. Ila wananchi wakitaka kufanya biashara kupata kipato Ndipo sheria uibuliwa na vizuizi kibao.

Nchi yenye viongozi wakudhibiti ustawi wa wazawa na kustawisha wageni inajianda KUTAWALIWA. Kila sehemu Mtanzania anapotaka kukua tunamkandamiza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…