Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alisahau password ya hii accountNew member
since 2013
Sio maeneo yote, kwa Arusha mvua zilifululiza sanaa ila kwa siku kama 3 au 4 kumepiga jua la hatariKila ukifika maeneo mbalimbali tangu mwaka jana Desemba (2024) mpaka hii Feb (2025) inaenda kuisha kuna ukame ambao hauelezeki.
Miaka ya nyuma miezi hii maeneo mengi ni heka heka hakuna kupoa ni matope juu ya matope
Yakishuka manyunyu tu chawa mwandamizi Lucas Mwashambwa ataleta uzi wa kumshukuru mama.Huu utawala hauna Baraka🤣🤣
Mvua ni kawaida kusimama kwa muda mwezi huu. Ila kuanzia mwezi ujao mvua zitakuwa nyingi sana.Yakishuka manyunyu tu chawa mwandamizi Lucas Mwashambwa ataleta uzi wa kumshukuru mama.
kwahio mwezi ujao utabubujikwa na machozi kweri kweriMvua ni kawaida kusimama kwa muda mwezi huu. Ila kuanzia mwezi ujao mvua zitakuwa nyingi sana.
Laaana ya damu zisizo na hatiaKila ukifika maeneo mbalimbali tangu mwaka jana Desemba (2024) mpaka hii Feb (2025) inaenda kuisha kuna ukame ambao hauelezeki.
Miaka ya nyuma miezi hii maeneo mengi ni heka heka hakuna kupoa ni matope juu ya matope