Mvua ya masaa 2 Dar yasababisha nyumba 20 kuezuliwa mapaa

Mvua ya masaa 2 Dar yasababisha nyumba 20 kuezuliwa mapaa

Miss Zomboko

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
4,599
Reaction score
9,532
UPEPO mkali na mvua iliyoandamana na radi imesababisha nyumba zaidi ya 20 kuezuliwa mapaa huku Kaya 50 zikikosa makazi.

Tukio hilo la aina yake limetokea masaa mawili yaliyopita ambapo katika eneo la Kimara Golani kwa 'Bibi Rosta' mwandishi wa habari hizi ameshuhudia nyumba 19 zikiwa zimeezuliwa paa za nyumba huku nyumba moja ikiwa imebomoka ukuta.

Katika tukio hilo nyumba mmoja iliyobomoka imeweza kujeruhi mtu mmoja aliyekuwa ndani.

Malunde blog
 
Ujenzo wa rile darajja LA mita 300 pare jawngwani ulikamirika??

Don't make a promise you can't fulfill...
 
Mliambiwa Dar,siyo sehemu salama ya kuishi ukiwa na pesa mafuliko,uchafu,fokeni.
 
Back
Top Bottom