Mkulima na Mfugaji
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 1,047
- 1,832
Kuanzia jana ilikua ni kicheko kwa wakulima hasa wa mikoa ya Pwani, Tanga na morogoro baada ya Mvua kurejea tena,
Wakulima walikua wamekata Tamaa, Mazao yalikua yanakufa na jua, ila Mvua ilionyesha jana usiku kucha imeleta tumaini Jipya
Ashukuriwe Mungu
Wakulima walikua wamekata Tamaa, Mazao yalikua yanakufa na jua, ila Mvua ilionyesha jana usiku kucha imeleta tumaini Jipya
Ashukuriwe Mungu