Black Rose
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 243
- 171
Kwa wale wakware..leo mmepata kisingizio cha kulala kona!
Nimepokea news kutoka kwa mashosti wakisema waume zao wanadai leo wanaweza wasirudi nyumbani kwa sababu madaraja yamevunjika na barabara zimefungwa! Hebu tuhabarishane kama ni kweli :
1. Daraja la Segerea limevunjika
2. Daraja la Salender limefungwa
3.Daraja la Kawe nalo limefungwa
4.Daraja la Lugalo limefungwa..
Tupeni uhakika wale mlioko maeneo ya tukio..ongezeni na maoni yenu.
Nimepokea news kutoka kwa mashosti wakisema waume zao wanadai leo wanaweza wasirudi nyumbani kwa sababu madaraja yamevunjika na barabara zimefungwa! Hebu tuhabarishane kama ni kweli :
1. Daraja la Segerea limevunjika
2. Daraja la Salender limefungwa
3.Daraja la Kawe nalo limefungwa
4.Daraja la Lugalo limefungwa..
Tupeni uhakika wale mlioko maeneo ya tukio..ongezeni na maoni yenu.