Mvua za masika kuharibu mchakato wa upigaji kura ya maoni

Mvua za masika kuharibu mchakato wa upigaji kura ya maoni

President Elect

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
693
Reaction score
212
Mvua za masika zimeanza kunyesha mikoa ya nyanda za juu kusini na kufikia mwezi wa nne zitasambaa nchi nzima, hivyo kukwamisha kwa kiasi kikubwa mchakato wa kupiga kura ya maoni.

Serikali inapaswa kutafakari kama tarehe iliyopangwa (30/04/2015) ni muafaka kwa mazingira halisi ya nchi yetu hasa ukizingatia hali ya miundo-mbinu wakati wa kusafirisha vifaa vya kupigia kura na kukamilika kwa wakati uboreshaji wa daftari la wapiga kura!
 
Mvua za masika zimeanza kunyesha mikoa ya nyanda za juu kusini na kufikia mwezi wa nne zitasambaa nchi nzima, hivyo kukwamisha kwa kiasi kikubwa mchakato wa kupiga kura ya maoni.

Serikali inapaswa kutafakari kama tarehe iliyopangwa (30/04/2015) ni muafaka kwa mazingira halisi ya nchi yetu hasa ukizingatia hali ya miundo-mbinu wakati wa kusafirisha vifaa vya kupigia kura na kukamilika kwa wakati uboreshaji wa daftari la wapiga kura!

Kwani kura zitapigwa chini ya miti? Kama ni vifaa vya kupiga kura kusafirishwa helikopta zipo.UKAWA mnahangaika sana kujaribu kukwamisha zoezi la kura ya maoni.Mnatafuta uongo kila kona.
 
hata zikinyesha mvua za mawe tutapiga kura tu, haibiwi mtu hapa
 
Back
Top Bottom