Papaa007
JF-Expert Member
- Sep 4, 2016
- 1,103
- 1,737
Habarini wanandugu wa JamiiForums nimekuwa nizifwatilia mvua za msimu huu kama mjuavyo kwa ajili ya kilimo lakini inashangaza sana kwani hazieleweki.
Kama huku Arusha yapata siku 4 mvua haijanyeshi sasa na jua lipo lali kama kawaida je ndo mvua za masika zimeisha? Ama hapo baadae mwez wa 3 zitaendelea?
Karbuni wataalam kwa ufafanuzi zaidi
Kama huku Arusha yapata siku 4 mvua haijanyeshi sasa na jua lipo lali kama kawaida je ndo mvua za masika zimeisha? Ama hapo baadae mwez wa 3 zitaendelea?
Karbuni wataalam kwa ufafanuzi zaidi