Mvua za mwaka huu hatutazisahau.

Mvua za mwaka huu hatutazisahau.

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Jana hatari Sana wingi lilitanda Mida ya mchana saa Sita kukawa giza na hapo upepo mkali watu tumejificha zinapiga radi na kuvunja minazi. Wabishi wa kuhama mabondeni wamekubali jinsi maji baridi yanavyotisha wamehama wote wamerudi vijijini na huko mashambani wasio pata na waliopata wote wanakula hasara. Kwa ni huu mzigo ndo Mvua za El Nino nacho jua zilishapita hizi si ni za kifuku?
 
Masika halisi ndio hii, hakuna ajabu! Inapaswa ipige mpaka May mwishoni huko.

Kujenga kiholela ndo issue ya kuitazama upya.

El nino ninayoijua mimi, sio hii mzee! Moja alikutana nayo Mkapa enzi zake.
- Mvua igonge siku 4 nonstop, kwa hali ya makazi yenu kwasasa unadhani itakuaje?
 
Masika halisi ndio hii, hakuna ajabu! Inapaswa ipige mpaka May mwishoni huko.

Kujenga kiholela ndo issue ya kuitazama upya.

El nino ninayoijua mimi, sio hii mzee! Moja alikutana nayo Mkapa enzi zake.
- Mvua igonge siku 4 nonstop, kwa hali ya makazi yenu kwasasa unadhani itakuaje?
Ilikuwa 1998, ilikuwa balaa sana!
 
Mko sehemu gani wakuu?

Ingefaa ukitoa taarifa utaje sehemu, kutoa taarifa za barabara, ikiwezekana hata picha na video.

Watu wajiongeze hata kupanga safari na kutahadharisha wengine.
Lindi mvua inapiga Jana ilipiga kubwa pwani yote tu kifupi inapiga Kilwa rufiji Lindi si unasikia Habari zenyewe mvua ya siku nne na kweli inapiga ila barabara iko shwari safari zinaendelea nasikia tu somanga maji yalijaa wakasubiri yapungue
 
Lindi mvua inapiga Jana ilipiga kubwa pwani yote tu kifupi inapiga Kilwa rufiji Lindi si unasikia Habari zenyewe mvua ya siku nne na kweli inapiga ila barabara iko shwari safari zinaendelea nasikia tu somanga maji yalijaa wakasubiri yapungue
Dah,

Umenikumbusha Mkuranga, Kibiti Ikwiriri, Nyamagwe, Muhoro, Somanga, Nangurukulu, Kilwa Masoko, route zangu hizo miaka hiyo.

Nawatakia mpate kuyapita haya bika madhara. Especially huko bonde la mto Rufiji.

Nimeona maji yamefurika mpaka Muhoro, kuna rafiki zangu walinipokea kwa ukarimu sana hapo na kuniepusha na majanga miaka hiyooo nimesikitika sana.
 
Masika halisi ndio hii, hakuna ajabu! Inapaswa ipige mpaka May mwishoni huko.

Kujenga kiholela ndo issue ya kuitazama upya.

El nino ninayoijua mimi, sio hii mzee! Moja alikutana nayo Mkapa enzi zake.
- Mvua igonge siku 4 nonstop, kwa hali ya makazi yenu kwasasa unadhani itakuaje?
Yes mwaka 1997 ilikuwa balaa
 
Masika halisi ndio hii, hakuna ajabu! Inapaswa ipige mpaka May mwishoni huko.

Kujenga kiholela ndo issue ya kuitazama upya.

El nino ninayoijua mimi, sio hii mzee! Moja alikutana nayo Mkapa enzi zake.
- Mvua igonge siku 4 nonstop, kwa hali ya makazi yenu kwasasa unadhani itakuaje?
Kabisa mkuu nilikuwa dogo lakini nakumbuka mvua inagonga nonstop sio hii inagonga leo iankata inarudi baada ya week aus siku 3. Ile ilikuwa inaweza kugonga non stop siku 3 ikakata masaa ikaanza tena. Ilikuwa noma madaraja yalibebwa nilikuwa huko mkoa yani kwenda town center unazunguka kama vile unatoka nje mji ndio ufike center maana madaraja yote yamesombwa
 
Masika halisi ndio hii, hakuna ajabu! Inapaswa ipige mpaka May mwishoni huko.

Kujenga kiholela ndo issue ya kuitazama upya.

El nino ninayoijua mimi, sio hii mzee! Moja alikutana nayo Mkapa enzi zake.
- Mvua igonge siku 4 nonstop, kwa hali ya makazi yenu kwasasa unadhani itakuaje?
Ile ilianza September 1997-mpaka July 1998.
Ilikuwa hatari mvua ile. Kimyakimya bila kelele,mdogomdogo mara siku nne bila kukata.
 
Back
Top Bottom