Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni urefu kwa Sababu alizaliwa mfupi zaidi ya hapo
Kwa kuangalia tu, huyo ana sentimita 700, siyo 70Mvulana wa Nepali Dor Bahadur Khapang mwenye umri wa miaka 17 ana urefu wa sentimita 70 na amethibitishwa na kumbukumbu za Guinness kuwa mtu mfupi zaidi duniani.
Hakuna binadamu wa sentimita 700 ukiwa na sm200 tu unatisha kibara la afrikaKwa kuangalia tu, huyo ana sentimita 700, siyo 70
😂🤣😂🤣😂😁😁😁😀😁😀😁😂🤣Hakuna binadamu wa sentimita 700 ukiwa na sm200 tu unatisha kibara la afrika
Ni 'dimension blind', labda huyu!Hakuna binadamu wa sentimita 700 ukiwa na sm200 tu unatisha kibara la afrika
Duh! Hapo umetudanganya!Kwa kuangalia tu, huyo ana sentimita 700, siyo 70
Ni kweli. Nilipitiwa kazi nyingi
Ni kweli ila wapo pia giants ambao waliwahi kuishi enzi za kal. Wana urefu mara 5 zaidi ya urefu wa kawaida wa sasa hivi. Ngoja nitaiangalia documentary hiyo youtube halafu nitaiweka humuHakuna binadamu wa sentimita 700 ukiwa na sm200 tu unatisha kibara la afrika
Huyo dogo ana miaka miwiliMvulana wa Nepali Dor Bahadur Khapang mwenye umri wa miaka 17 ana urefu wa sentimita 70 na amethibitishwa na kumbukumbu za Guinness kuwa mtu mfupi zaidi duniani.
Mzee sentimita 700 unazijua? Rula moja ina sentimita 30(futi moja hiyo)Kwa kuangalia tu, huyo ana sentimita 700, siyo 70
Tausi ana urefu size gan
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mzee sentimita 700 unazijua? Rula moja ina sentimita 30(futi moja hiyo)
Sentimita 700 ni zaidi ya futi 23. Sasa mtu mwenye futi 23 unampatia wapi dunia hii, au unamzungumzia unju[emoji23][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nawazaga uchi wake una kimo gani na mimba anashika na kuzaa kazaa