Mvuta Bangi alikwenda kwa Dokta na kumwambia:- Mvuta Bangi: Mala nyingi huwa nazungumza na watu,
lakini cha kushangaza watu hao huwa siwaoni,
utanisaidiaje daktari?.
Daktari:- Ni wakati gani huwa inakujia hali kama
hiyo?. Mvuta Bangi:- Mala nyingi pale ninapoongea nao kwa
Simu...!!!
Daktari:- Mmm...!!