beatrixmgittu
Senior Member
- Dec 21, 2010
- 113
- 6
hiyo mibangi mnayoo vuta ni stimu za kulanduka kama siyoo fani yako kwa kweli utaumbukaaa....isome kama unaimba
Sikushauri Dada ufanye hivyo, inatosha kufurahia tunayoyasoma hapa.Duh itabidi nijaribu vuta nione raha yake
hahaha,kitunguu nitunguehaha ha nyanya ninyanyuee...
Yote tisa kumi kitu cha MALAWI lazima Upae JombiiCha Mbeya babu na cha Tarime ndo mwish0.LOL
mvuta bangi bwana akaomba pikipiki ya rafiki yake, ilikuwa majira ya usiku akaamua aelekee maeneo yanayoitwa soweto huko moshi kupitia barabara ya kwenda arusha. Mbele kulikuwa na gari linakuja; bangi za jamaa zikamponza, yeye baada ya kuona taa mbili za lile gari akafikiri ni pikipiki mbili zinakuja mbele yake, hivyo akaona apite katikati ya zile pikipiki, matokeo yake yakawa kifo. Bangi bwana sio nzuri!!!
Yote tisa kumi kitu cha MALAWI lazima Upae Jombii
ule msumari balaa babu,Kwanza paper yake ni nyekundu ukikitoa humo ndani unaweza ukakipigiza ukutani zaidi ya mara 5 wala kisipukutike,Resi 2 tu unabembea kinoma yani,Kumbe Kinawekwa kwenye Nyeeee...!!kwa 3 weeks?? duh!!!kitu cha malawi wakivuna wanaweka kwenye kiroba then wanadumbukiza t***et ikining'inia kwa wiki3 then wanaitoa kwa mauzo.
nasikia bangi ni dawa ya sikio hivi ni kweli?
Hiyo dawa ni zaidi ya mwarobaini, hata kwenye Biblia imeandikwa:nasikia bangi ni dawa ya sikio hivi ni kweli?