Mvutano wa hisia za binadamu

Kuna kitabu nilikisoma kinaelezea hiyo kitu,kimsingi tunatakiwa tujue mawazo ni power,hisia za ndani za binadamu sio za kupuuzwa na yeye mwenyewe huwa zinazaa vitu halisi.
Kitabu gan mkuu,kama unaweza kututajia jina
 
You have something called Unagi.

Unagi, a state of total awareness, in which you can be prepared for...



Cc: mahondaw
 
Hyo kitu inakutokea kwa unaowajua tu au
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…