M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Unataka constantly aropoke kama Lisu?Njaa ikizidi ndo kelele zinakuja nyingi. Wataalam wa Siasa za Tungekinya wanakua Hilo hivyo wao wanakunyamazisha kwa kukutupia buyu la asali uhangaike nalo. Nashauri Hata Antipasi ahamishiwe salio hatutasikia kelele tena.
Dominika njema.
Ulitaka afanye nini ?Njaa ikizidi ndo kelele zinakuja nyingi. Wataalam wa Siasa za Tungekinya wanakua Hilo hivyo wao wanakunyamazisha kwa kukutupia buyu la asali uhangaike nalo. Nashauri Hata Antipasi ahamishiwe salio hatutasikia kelele tena.
Dominika njema.
Akae kimyaUlitaka afanye nini ?
Mbona yupo active sana? Unajua kazi za chairman wa TLS? Watanzania wengi sisi ni wavivu na wajinga. Tunadhani sisi kazi yetu ni kukaa na kubishana juu ya Yanga na Simba halafu watu wachache ndiyo watusaidie ''kupaza sauti''. Utasikia ''mheshimiwa tusaidie kupaza sauti kwa wakubwa''. Huu ni utamaduni wa kivivu na kijinga mno.Njaa ikizidi ndo kelele zinakuja nyingi. Wataalam wa Siasa za Tungekinya wanakua Hilo hivyo wao wanakunyamazisha kwa kukutupia buyu la asali uhangaike nalo. Nashauri Hata Antipasi ahamishiwe salio hatutasikia kelele tena.
Dominika njema.
TayariNjaa ikizidi ndo kelele zinakuja nyingi. Wataalam wa Siasa za Tungekinya wanajua Hilo hivyo wao wanakunyamazisha kwa kukutupia buyu la asali uhangaike nalo. Nashauri Hata Mbowe ahamishiwe salio hatutasikia kelele tena.
Dominika njema.