Mtu mmoja ambaye hajafahamika jina lake amechukuliwa kwa nguvu na Watu wasiojulikana ambao walikuwa wamebeba silaha na ripoti zinadai tukio hilo limetokea February 20,2025 saa saba mchana katika Kituo cha Mafuta cha Puma kilichopo Kibaha Mkoani Pwani.
Kwa mujibu wa ripoti za Mashuhuda Kijana huyo aliyekuwa anaendesha pikipiki alipambana sana kuomba msaada lakini Watu hao waliokuwa kwenye Noah nyeusi walitoa silaha ikiwemo bunduki na bastola hadharani na ikapelekea Watu waliokuwa karibu washindwe kutoa msaada.
Watu mbalimbali wamepaza sauti zao mitandaoni wakitaka Mamlaka zitolee ufafanuzi tukio hilo, Rais wa TLS Wakili Boniphace Mwabukusi amesema
"Tunataka Polisi watuambie hili ni zoezi la ukamataji? au ni kiburi cha utekaji baada ya kukosekana kwa hatua thabiti za kuzuia uharamia huu? nadhani sasa hapa tutapata majawabu mara moja "
Mtu mmoja ambaye hajafahamika jina lake amechukuliwa kwa nguvu na Watu wasiojulikana ambao walikuwa wamebeba silaha na ripoti zinadai tukio hilo limetokea February 20,2025 saa saba mchana katika Kituo cha Mafuta cha Puma kilichopo Kibaha Mkoani Pwani.
Kwa mujibu wa ripoti za Mashuhuda Kijana huyo aliyekuwa anaendesha pikipiki alipambana sana kuomba msaada lakini Watu hao waliokuwa kwenye Noah nyeusi walitoa silaha ikiwemo bunduki na bastola hadharani na ikapelekea Watu waliokuwa karibu washindwe kutoa msaada.
Watu mbalimbali wamepaza sauti zao mitandaoni wakitaka Mamlaka zitolee ufafanuzi tukio hilo, Rais wa TLS Wakili Boniphace Mwabukusi amesema
"Tunataka Polisi watuambie hili ni zoezi la ukamataji? au ni kiburi cha utekaji baada ya kukosekana kwa hatua thabiti za kuzuia uharamia huu? nadhani sasa hapa tutapata majawabu mara moja " View attachment 3245122View attachment 3245123
Masuala haya ya kutekana hapa Tanzania jinsi yanavyofanyika ni kama vile ilivyokuwa nchini Zaire (DRC) enzi za Utawala wa Dikteta Mobutu Sese Seko, Watu walikuwa wanatekwa mchana kweupe kama hivi wanavyofanya hawa Watekaji kwenye video hii. Nchini Zaire ilikuwa ukitekwa namna hiyo basi utapelekwa moja kwa moja nyumbani kwake Rais Mobutu Sese Seko kwenye makazi yake yaliyopo katika Kijiji Cha Gbadolite ili ukateswe na kisha kuuawa. Hali ilikuwa mbaya sana kupita kiasi nchini Zaire, naona hali kama hiyo hiyo sasa hivi ipo nchini Tanzania. Ni hatari kubwa sana kwa Usalama wa Umma na nchi yote kabisa kwa ujumla wake.
Matukio ya namna hii yana madhara mabaya sana ambayo kamwe hayataweza kuja kurekebishika.
Nashangaa Sana kuona kwamba Serikali iliyopo ipo kimyaaa kabisa licha ya kwamba vilio vya Wananchi ni vikubwa sana katika kulaani matukio ya namna hii. Kulikoni hasa huko Serikalini?
Je, ukimya wa Serikali na vyombo vyake vyote kabisa vya Dola kwenye matukio mabaya kama haya ya Utekaji Watu unamaanisha Nini hasa??
Mtu mmoja ambaye hajafahamika jina lake amechukuliwa kwa nguvu na Watu wasiojulikana ambao walikuwa wamebeba silaha na ripoti zinadai tukio hilo limetokea February 20,2025 saa saba mchana katika Kituo cha Mafuta cha Puma kilichopo Kibaha Mkoani Pwani.
Kwa mujibu wa ripoti za Mashuhuda Kijana huyo aliyekuwa anaendesha pikipiki alipambana sana kuomba msaada lakini Watu hao waliokuwa kwenye Noah nyeusi walitoa silaha ikiwemo bunduki na bastola hadharani na ikapelekea Watu waliokuwa karibu washindwe kutoa msaada.
Watu mbalimbali wamepaza sauti zao mitandaoni wakitaka Mamlaka zitolee ufafanuzi tukio hilo, Rais wa TLS Wakili Boniphace Mwabukusi amesema
"Tunataka Polisi watuambie hili ni zoezi la ukamataji? au ni kiburi cha utekaji baada ya kukosekana kwa hatua thabiti za kuzuia uharamia huu? nadhani sasa hapa tutapata majawabu mara moja " View attachment 3245122View attachment 3245123
Nasisisitiza tena yule aliyekuwa amevaa Tshirt ya jeshi akamatwe kueleza kwanini amevaa sare ya jeshi kinyume na sheria,kama ni mwanajeshi aeleze kwanini akumtetea raia.
Mtu mmoja ambaye hajafahamika jina lake amechukuliwa kwa nguvu na Watu wasiojulikana ambao walikuwa wamebeba silaha na ripoti zinadai tukio hilo limetokea February 20,2025 saa saba mchana katika Kituo cha Mafuta cha Puma kilichopo Kibaha Mkoani Pwani.
Kwa mujibu wa ripoti za Mashuhuda Kijana huyo aliyekuwa anaendesha pikipiki alipambana sana kuomba msaada lakini Watu hao waliokuwa kwenye Noah nyeusi walitoa silaha ikiwemo bunduki na bastola hadharani na ikapelekea Watu waliokuwa karibu washindwe kutoa msaada.
Watu mbalimbali wamepaza sauti zao mitandaoni wakitaka Mamlaka zitolee ufafanuzi tukio hilo, Rais wa TLS Wakili Boniphace Mwabukusi amesema
"Tunataka Polisi watuambie hili ni zoezi la ukamataji? au ni kiburi cha utekaji baada ya kukosekana kwa hatua thabiti za kuzuia uharamia huu? nadhani sasa hapa tutapata majawabu mara moja "
Alisema aletewe taarifa za kina ni nani wanahusika na utekaji na kwamba yy haja ua mtu. Sijui kama bado report anaitaka. Ila lililo dhahiri ni hili. MUNGU atajibu kwa kwa hasira nanyi mtakaa kimyaaaa
Mtu mmoja ambaye hajafahamika jina lake amechukuliwa kwa nguvu na Watu wasiojulikana ambao walikuwa wamebeba silaha na ripoti zinadai tukio hilo limetokea February 20,2025 saa saba mchana katika Kituo cha Mafuta cha Puma kilichopo Kibaha Mkoani Pwani.
Kwa mujibu wa ripoti za Mashuhuda Kijana huyo aliyekuwa anaendesha pikipiki alipambana sana kuomba msaada lakini Watu hao waliokuwa kwenye Noah nyeusi walitoa silaha ikiwemo bunduki na bastola hadharani na ikapelekea Watu waliokuwa karibu washindwe kutoa msaada.
Watu mbalimbali wamepaza sauti zao mitandaoni wakitaka Mamlaka zitolee ufafanuzi tukio hilo, Rais wa TLS Wakili Boniphace Mwabukusi amesema
"Tunataka Polisi watuambie hili ni zoezi la ukamataji? au ni kiburi cha utekaji baada ya kukosekana kwa hatua thabiti za kuzuia uharamia huu? nadhani sasa hapa tutapata majawabu mara moja "