bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,679
Mpira unamambo mengi wengi wanasema kocha anapewa ajira ili afukuzwe hakuna kibarua kigumu kama cha kufundisha mpira hasa wa miguu
Ukipata matokeo mazuri wewe rafiki yao ukipata matokeo mabaya wewe adui yao shabiki anachoangalia anataka ushindi tu hajui timu pinzani imejiandaaje.
Haya yanatokea hapa kwetu baada ya game ya kwanza Kushinda goli la 7 mashabiki walimsifu sana kocha baada ta kwenda sare na Azam mashabiki wakaanza kusema chinichini baada ya ushindi dhidi ya Mwadui Tff watupe kombe letu tu leo hii kaenda droo na Wakata Mbao wa mwanza kocha hana mbinu mbadala.
Mashabiki mwacheni Kocha afanye kazi yake kila timu imejiandaa vizuri na michezo ya mikoani ni miguu mlishangalia sana droo ya yanga na majimaji Songea
Tulieni ligi ndo bado mbichi.
Ukipata matokeo mazuri wewe rafiki yao ukipata matokeo mabaya wewe adui yao shabiki anachoangalia anataka ushindi tu hajui timu pinzani imejiandaaje.
Haya yanatokea hapa kwetu baada ya game ya kwanza Kushinda goli la 7 mashabiki walimsifu sana kocha baada ta kwenda sare na Azam mashabiki wakaanza kusema chinichini baada ya ushindi dhidi ya Mwadui Tff watupe kombe letu tu leo hii kaenda droo na Wakata Mbao wa mwanza kocha hana mbinu mbadala.
Mashabiki mwacheni Kocha afanye kazi yake kila timu imejiandaa vizuri na michezo ya mikoani ni miguu mlishangalia sana droo ya yanga na majimaji Songea
Tulieni ligi ndo bado mbichi.