Mwadui FC Vs Simba SC

Kawalindia nafasi yenu kweli mkuu..Bi Hindu fc
 
Kawalindia nafasi yenu kweli mkuu..Bi Hindu
 
Msungoe viti lakini maana nyie hamjambo kwa uharibifu. Mara mnangoa viti. Koki, mnachafua vyoo. Hivyo yote ni hasira ya kufungwa na mwanaume ambaye aliwatoa ubavuni mwake. Ifike mahali mkubali kwamba nyie ni sehemu ya ubavu wetu, hivyo nyie ni wake zetu.
Ni kweli Mkuu.. Maana siku nyingi hatujamgonga mtu goli zaidi ya 6. Wanasimba wenzangu tunajiandaaje kupokea matokeo ya ushindi mnono kiasi hiki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…