OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Wakuu wa JF
Lile treni lililokatika breki Simba SC linaendelea na safari. Leo hii litapita katika uwanja wa CCM Kambarage kukipiga na Mwadui FC.
Timu bora kabisa chini ya kocha Omog na msaidizi wake Mayanja iliwasilisi majuzi mjini Shinyanga na kuweka kambi hapo kujiandaa na mchezo wake dhidi ya Mwadui FC.
Awali mchezo huo ulikuwa upigwe katika Uwanja wa Mwadui Complex,utafanyika katika Uwanja wa CCM Kambarage mjini Shinyanga. Kikosi cha Simba kikiongozwa na wachezaji wenye vipaji na viwango vya kimataifa, Mzamiru Yasini, Shiza Kichuya, Zimbwe Jr Tshabalala na Ibra Ajib kipo katika ari kubwa.
Mechi hii itarushwa live kupitia Azam TV na kutangazwa na vituo vya TBC One na Uhuru FM.
Kwa hapa JF nitakuletea moja kwa moja kwa msaada wa Azam TV.
MATOKEO: Mwadui 0-3 Simba
SIMBA NGUVU MOJA
Lile treni lililokatika breki Simba SC linaendelea na safari. Leo hii litapita katika uwanja wa CCM Kambarage kukipiga na Mwadui FC.
Timu bora kabisa chini ya kocha Omog na msaidizi wake Mayanja iliwasilisi majuzi mjini Shinyanga na kuweka kambi hapo kujiandaa na mchezo wake dhidi ya Mwadui FC.
Awali mchezo huo ulikuwa upigwe katika Uwanja wa Mwadui Complex,utafanyika katika Uwanja wa CCM Kambarage mjini Shinyanga. Kikosi cha Simba kikiongozwa na wachezaji wenye vipaji na viwango vya kimataifa, Mzamiru Yasini, Shiza Kichuya, Zimbwe Jr Tshabalala na Ibra Ajib kipo katika ari kubwa.
Mechi hii itarushwa live kupitia Azam TV na kutangazwa na vituo vya TBC One na Uhuru FM.
Kwa hapa JF nitakuletea moja kwa moja kwa msaada wa Azam TV.
MATOKEO: Mwadui 0-3 Simba
SIMBA NGUVU MOJA