C cypro mangi shayo Member Joined Jan 13, 2012 Posts 5 Reaction score 0 Jan 14, 2012 #1 daa! Nadhan wana jf mnazo tetesi juu ya ajira zetu.ebu tupien kile mnachojua kuhusu hili.tumekichoka kitaa
daa! Nadhan wana jf mnazo tetesi juu ya ajira zetu.ebu tupien kile mnachojua kuhusu hili.tumekichoka kitaa
Bata batani JF-Expert Member Joined Nov 11, 2011 Posts 3,217 Reaction score 3,694 Jan 14, 2012 #2 mimi ninawashauri ni heri muunde umoja wa pamoja na muanze kujiandaaa kufanya maandamano kuelekea wizara ya elimu mkikaaa kimya mtashangaaa 2015 uongozi unakiswa sasa hamjui uongozi ujao kama unawatambua
mimi ninawashauri ni heri muunde umoja wa pamoja na muanze kujiandaaa kufanya maandamano kuelekea wizara ya elimu mkikaaa kimya mtashangaaa 2015 uongozi unakiswa sasa hamjui uongozi ujao kama unawatambua
K Kigoma 2015 JF-Expert Member Joined Sep 19, 2011 Posts 371 Reaction score 93 Jan 14, 2012 #3 Ajira zenu next week. Soma Mwananchi ya leo
Bata batani JF-Expert Member Joined Nov 11, 2011 Posts 3,217 Reaction score 3,694 Jan 14, 2012 #4 kila siku kesho,kila siku kesho .....fanyeni maandamano