Mwafrika wa kike kumuunga Mkono Mheshimiwa Kikwete

Hoyaaaaa....

Ilianza May 7th,

May 14th - Checked
May 21st - Checked
May 28th - Checked
June 04th - Checked

Hayawi hayawi sasa yamekuwa, Kikwete amepata breathng room ya mwezi mzima lakini ameshindwa kufanya chochote kuhusu EPA, Richmond na Buzwagi na mengineyo mengi?!

Kazi inaanza sasa rasmi!

I am sorry JK, this is too much to handle!
 

Bado anavuta kasi mpya,nguvu mpya na hali mpya zitakapo anza twaweza kuona makeke yake lakini bado sasa hajapata ile kasi ya kuanza anadai bado hajapata uzoeefu
 

Are you talking of the same president who previosuly said we have no problems with the money lost in our reserves? The president who have left the culprits walking freely in the Dar Es Salaam streets? the president who is afraid to act? Unless you are a hypocrite, you cannot defend this president, he is a culprit number ONE!
 
Hoyaaaaa....



Kazi inaanza sasa rasmi!


Kazi inaanzia wapi mama?
1) Shule zinafungwa hazina chakula
2) Mfumko wa bei wa bidhaa uko juu
3) Mpaka sasa hakuna kitegauchumi chochote cha kuingizia serikali pato bado ni zile zile za fisadi mkapa
4) Hospitali hazina madawa
5) Njaa ndiyo hiyooo imeinyemelea nchi (Mungu atusaidie)
6) Migomo mashuleni na vyuoni kuongezeka (migomo karibu 10 ktk nusu mwaka huu)
7) Maliasili (gold, diamond, silver, misitu, wanyama etc) bado inasombwa
8) Ajira bado hakuna vijiwe vinazidi kuongezeka (zamani kahawa ilikuwa ya wazee tu lakini siku hizi vijana wamejaa )
9) Barabara hazijengwi (manyoni-tabora-kigoma, iringa-dodoma-arusha)
10) kilimo ndo kabisa
11) Mafisadi bato wanakata mitaa

kwa hiyo timu ya mpira wa miguu kazi inaanzia wapi?
 

kazi imeanza sasa ya kumwekea presha Kikwete na serikali yake hadi kieleweke. Hata akipewa muda naona hafanyi chochote kile anachoahidi kufanya kila mara.
 
jana alimuunga mkono mheshimiwa, leo anataka ajiuzulu !! bipolar kweli ni balaa !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…