Mwafrika wa kwanza kushiriki WORLD FOOD CHAMPIONSHIP 2016 atoka TANZANIA!!

Mwafrika wa kwanza kushiriki WORLD FOOD CHAMPIONSHIP 2016 atoka TANZANIA!!

Itzmusacmb

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2016
Posts
1,531
Reaction score
1,134
Mtanzania ‘Chef’ Fred Uisso amechaguliwa kushiriki kwenye fainali za mashindano ya World Food Championships 2016 zinazotarajiwa kufanyika Novemba 8-15, baada ya kufanya vizuri katika upishi wa nyama ‘Best Stake Chef’ mapema mwaka huu.

Chef Uisso ambaye ni mpishi mwandamizi katika mgahawa wa Afrikand uliopo Kinondoni, anakuwa Mwafrika wa kwanza kupata nafasi ya kushiriki katika mashindano hayo, ambayo yamefanyika kwa kipindi cha miaka 15 mfululizo tangu kuanzishwa kwake mwaka 2001 baada ya kufadhiliwa na Red Gold Tanzania.

Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Chef Uisso alisema amepata nafasi ya kwenda kushiriki mashindano hayo mwezi ujao Alabama States nchini Marekani baada ya kushiriki kupitia mtandaoni mara kadhaa.

‘Walinitambua kupitia kazi zangu ambazo nilizifanya mtandaoni, katika dunia nzima ambao tuliingia katika mtandao huo tulikuwa zaidi ya watu 3700 ambao kila mmoja alionyesha uwezo wake wa kupika vyakula mbalimbali, nilirekodi na kuweka katika mtandao huo na majaji watatuchagua washindi 100 katika kila kipengere’

Alisema baada ya kuchaguliwa 100 katika vipengere 9, jumla ya washiriki 900 walipatikana na kuchujwa hadi kufikia 50. Baadaye walipewa kazi nyingine na kisha kuchujwa mpaka kufikia 21 ambao ndiyo walioingia fainali.
 
World Food Championships 2016

Source: Millard Ayo

The 2016 World Food Championships Orange Beach, Alabama
The 2016 World Food Championships will highlight some of the most iconic cuisines around the globe. Categories include: Barbecue, Chili, Sandwich, Burger, Dessert, Bacon, Seafood, Steak and Recipe. As in years past, the Recipe category is based on a theme of food. The theme for the 2016 World Recipe Championship is BREAKFAST. Click the link below for that category to learn more.

Using the EAT methodology and a hybrid of sanctioned and celebrity judging processes, in a tournament style competition, the World Food Championships will identify winners in each of the nine key categories of competition. Once the champions of each category are crowned, they will meet at the Final Table for ultimate bragging rights and a pile of cash.

When the smoke clears and the Final Table judges have their say, one lucky competitor will be left standing as the World Food Champion.
wfc-logo.png

COMPETITION OVERVIEW
NOVEMBER 2016
PRIZE PURSE $300,000
ORANGE BEACH, ALABAMA
wfc-logo.png

World Food Championships
 
Na mapishi tena tunawafunika... Wenyewe wanajua kutengeneza CHANG'AAA tuu
 
A champion in such a competition ataitwa foodious????kama vile olympian hivi??
 
Back
Top Bottom