Mwaga wino kama uliwahi kukumbwa na kisa kama hiki

Mwaga wino kama uliwahi kukumbwa na kisa kama hiki

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
Kipindi nipo shule nilikuwa napenda kukaa upande wa dirishani unaotazamana na jiko la shule.

Sasa siku moja nikawa naona baba mpishi amefungua sufuria la maharaghe akaweka chumvi, eeh tena ni nyingi hadi akawa kama ana wasiwasi kazidisha ikabidi atoetoe na kijiko lakini nahisi hakufanikiwa, namtazama tuu!

Baada ya muda tena akaja mpishi mwingine nikamuona anafunguaa chumvi anamimina, aseee weeeh nilipiga kelele sikujali mwalimu yuko darasani, 📢 "USIWEKEE, AMESHAWEKAAA😂"

Alamsiki.
cc: Othman mbarouk
 
Mara nykngi visa hivi hutokea
1. Mfano nilikuw naenda kununua nyama na dogs mmoja bodaboda yule butchered akawa anakata vipande vipande kumtazama bodaboda boda naona anahesabu

2. Hili pia nilikuw nahesabu burungutu la hela takribani millions moja ya kitanzania. Kila nikihesabu nikagundua wa pemebeni nae anahesabu

3. Wakati naangalia kipindi cha mapenzi kwenye runinga/luninga sasa tuko na dogs mmoja wa miaka 9 hivi udenda ukawa unamshuka

4. Wakati wa kucheki mechi.za mpira au movie za vibanda umiza kuna watu wan midair kiasi cha kuona Messi anaruka na yeye anaruka jwenye kiti

5. Kuna jamaa mpiga chabo alinisimukia wakati anapiga chabo akajikuta uso kwa uso na mshikaji wakati jamaa anarusha bao huku na yeye akajkuta anamwaga bao connection ya ajabu kutokea
 
Atoe krediti tu kwa fesibuku
Hii umeitoa Facebook... ni comment huwa inatembea sana ila kwa lugha ya Kiingereza wewe ukaileta kwa Kiswahili.

COPY & PASTE!
Huwa akili zinaruka au zinawaza kureply haraka haraka muonekane?.

Maana ya hiyo hapo chini huko skuli mlifundishwa mkadhani ni tope?.
Screenshot_20230210_120427.jpg
 
Back
Top Bottom