Mwaitege Umepigwa Bomu Kali sana la kichawi. Tafuta ulinzi wa kiroho by any means necessary

Kumloga mlokole, ni Hadi umloge kwanza YESU aliye ndani ya mlokole.

Nobody can do that, shetani ni shahidi.
 
Sasa hapo kwenye bunda vijijini Kuna mtu ume mlenga,
Vip mkuu Usha toka mikoa ya kusini?
 
Wachawi wa2 wa ovyo sana!!!.......du!!!! 'then wanapata faida gani?!!!!!!!!.................yaani kama angekufa wangepata faida gani mamamae zao!!
 
Wachawi wa2 wa ovyo sana!!!.......du!!!! 'then wanapata faida gani?!!!!!!!!.................yaani kama angekufa wangepata faida gani mamamae zao!!
Ndio maana huko Shinyanga wakikijua umekwenda na maji. Ni mapanga tu
 
Huwezi jua alifanya kitu gani baada ya kuzushiwa
Waligongana uwanjani wakigombania mpira wa kona,akapoteza fahamu,akapelekwa hospital,Mganga akathibitisha kuwa amefariki.

Mwili ukapelekwa mochwari,kwakuwa majokofu yalikuwa yamejaa,mwili uliwekwa sakafuni.
Masaa kadhaa baadae alifufuka.

Kama uko karibu na wachezaji wa Kagera sukari hasa akina KIEMBA,NGASA na wengineo wa wakati ule waulize ijapo kidogo.
 
Mkuu vipi, wewe ni nani huko nje? Unatumia nini hadi watu wakijudhuru wanataabika wao?
 
Mkuu vipi, wewe ni nani huko nje? Unatumia nini hadi watu wakijudhuru wanataabika wao?
Mkuu sijui kwa kweli lakini Mimi ni Binadamu wa kawaida sana na sina ubaya na mtu yeyote yule hata ukifuatilia post zangu na thread zangu unaweza ukajenga picha Mimi ni mtu wa haiba gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…