Msingi_Mbio
JF-Expert Member
- Jul 25, 2012
- 336
- 44
Asanteni kwa ushauri. Ngoja niwaone wanasheria.
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
sijui kama wanaongea ni sheria au la. michango ni yako na mkataba wa uchangiaji ni wako na mfuko husika. waone watu wa sheria muandike demand note na kuset terms za kulipana kama anakudai. I think mwajari has other terminal benefits to offset her debts. sheria mpya ya kazi inasema hata ukiwa terminated you deserve to have terminal benefits as per your contract
Kwaiyo kama ananidai ana haki ya kuzuia ?
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums